Rais wa FIFA aipongeza Yanga

Rais wa Shirikisho la soka ulimwenguni, FIFA, Gian Infatinho ameipongeza klabu ya Yanga SC ya Tanzania kwa kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu bara.

Infatinho ametuma salamu zake kwa Yanga SC ikiwa ni desturi kwa Rais wa soka ulimwenguni kuzitumia salamu ya pongezi kwa timu bingwa wa nchi mwanachama wa Shirikisho hilo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI