Mpanzu kimeeleweka Simba, sasa kujiunga na timu wiki ijayo

Kwa mujibu wa AJ vainqueur ambao ni wasimamizi wa Winga Elie Mpanzu wameeleza kuwa klabu ya Simba SC imelipa kiasi kilichokuwa kimebaki cha Tshs 190M na proposal zote za ada ya usajili

Elie Mpanzu anajiandaa kurudi Tanzania kwaajili ya kuitumikia klabu ya Simba SC kuelekea msimu mpya na atafika jioni ya leo na bado ana mkataba na Wekundu wa Msimbazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI