Kinda wa Ngorongoro Heroes ajiunga KMC FC ya Maximo
Mchezaji na Mlinzi wa Kati wa timu ya taifa ya vijana (U-20) Ngorongoro Heroes, Ibrahim Nindi amejiunga na KMC FC akitokea Mashujaa FC ya Kigoma.
Ibrahim Nindi aliwahi kupita kwenye timu za vijana za Simba Sports Club.
