Kimenuka, Azam FC yaiburuza Yanga, TFF


Klabu ya Azam imeipeleka Yanga TFF kulalamikia kumtambulisha Mchezaji wao Abubakar Othman (Ninju) bila wao kuwa na taarifa yoyote
.
Ninju anamkataba na Azam Mpaka Mwaka 2027 lakini Mwezi wa kwanza alitolewa kwenda JKU kwa mkopo wa miezi sita mkopo ambao umeisha mwishoni mwa Msimu huu
.
Kabla ya kurudi Azam Ninju katambulishwa Yanga
.
Azam waliwasiliana na Jku lakini Jku wakasema Ninju walishamruhusu kurudi Azam kwani Mkataba wake wa mkopo ulikuwa umekwisha , ndipo Azam wakaamua kufungua mashtaka TFF kudai haki Yao kwa Ninju .
.
Ninju alitambulishwa Yanga jumapili ya juzi tarehe 27.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI