Ayoub Lakred aiponza Simba, FIFA


Taarifa zinasema kuwa Simba SC imefungiwa kusajili na FIFA, Ayoub Lakred alivunjiwa mkataba bila kulipwa stahiki zake ambazo ni $100,000 (Tsh 257,000,000) na FIFA wametoa adhabu hiyo na hawataruhusiwa kusajili au kutambulisha mchezaji mpya hadi deni hilo lilipwe.

Simba wapo kwenye mchakato huo ili waweze kutangaza usajili mpya.

FIFA wametuma taarifa hii siku kadhaa zilizopita ila ikawekwa kuwa siri.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI