Petro de Luanda yamtema straika wake mkongwe tarehe Mei 31, 2025 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Klabu ya Petro de Luanda wameachana rasmi na mshambuliaji wao mkongwe Adriano Nicolau, maarufu kwa jina la Yano.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 alirejea klabuni katikati mwa msimu wa 2024/25, na kucheza mechi 11 bila kufunga bao hata moja.