Joshua Mutale arudishwa Chipolopolo

Kiungo Joshua Mutale amerejea kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Zambia baada ya kutokuwepo kwa kipindi kirefu.

Mutale atakuwa sehemu ya kikosi cha timu ya taifa ya Zambia kitakachocheza mechi mbili za kirafiki za Kalenda ya FIFA dhidi ya Tunisia na Sudan.