Hamisa Mobetto hakuwa nyuma utambulisho wa Aziz Ki
tarehe
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Mwanamitindo maarufu nchini Hamisa Mobetto ambaye kwa sasa ni mke halali wa mchezaji Stephanie Aziz Ki hakuwa nyuma kwenye tukio la utambulisho wa mumewe ndani ya klabu ya Wydad Casablanca