Cristiano Ronaldo yuko na ofa mbili mezani kwa sasa moja ni kuongeza mkataba wa kubakia Al Nassr au Kukubali ofa ya Kujiunga na Al Hilal FC ili kupata nafasi ya Kucheza Kombe la Dunia la Vilabu
Kama atakubali ofa ya Kujiunga na Al Hilal FC basi mchezo wake wa kwanza ni dhidi ya Real Madrid..