Yanga kuachana na Sportpesa

Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha makubaliano na mdhamini mpya wa klabu hiyo atayekaa kifuani kwenye Jezi zao kwa fedha itayoweka rekodi nchini.

Taarifa zinaeleza kuwa Sportpesa hatokaa tena kifuani, atakaa mgongoni mwa Jezi kumpisha mdhamini mkuu mpya.