Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika sana kuhusu mlinzi wa kushoto wa Simba SC Valentine Nouma raia wa Burkina Faso ameuomba uongozi wa Simba kumuacha huru mwishoni mwa msimu huu.
Huku taarifa zikieleza kwamba sababu za kuondoka kwa nyota huyo ni kukosa nafasi kwenye kikosi cha kwanza ndani ya timu ya Simba ambapo nafasi yake ndiyo anayocheza Mohamed Hussein Tshabalala