Simba walivyotua Dar leo

Kikosi cha Wanafainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika,Simba SC wametua Nchini wakitokea Afrika Kusini walikoenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya Kimataifa kisha wakafuzu hatua ya Fainali ya Mashindano hayo.