Simba walivyotua Dar leo

Kikosi cha Wanafainali wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika,Simba SC wametua Nchini wakitokea Afrika Kusini walikoenda kuiwakilisha nchi kwenye michuano ya Kimataifa kisha wakafuzu hatua ya Fainali ya Mashindano hayo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI