Simba SC imehakikishiwa kuutumia uwanja wa Benjamini Mkapa, kwenye mchezo wa Mkondo wa pili wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/25 dhidi ya RS Berkane ya Morocco.
Simba atacheza mechi ya kwanza Morocco May 17, kisha mchezo wa marejeano Dar es salamaa, May 25,2025.