Klabu ya RS Berkane kutoka Morocco imefanikiwa kafuzu hatua ya Fainali ya CAF Confederation Cup kwa kuiondosha Klabu ya Cs Constantine ya Algeria kwa matokeo ya jumla ya Magoli 4-1
Rs Berkane itakutana na Simba SC ya Tanzania kwenye hatua ya Fainali ambapo Fainali ya kwanza itachezwa Morocco na Fainali ya pili itachezwa Tanzania.