Pongezi za Rais Samia na mashabiki wao zinawatosha- Mangungu

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu amesema hawahitaji pongezi toka kwa taasisi yoyote nchini zaidi ya pongezi za Rais Samia na mashabiki wao zinawatosha.

"Inabidi Simba SC tueleweke vizuri , hatuhitaji pongezi za kiongozi wa taasisi wa timu nyingine kuja kutupongeza sisi kuingia fainali Shirikisho Afrika "

" Pongezi za Mh Rais na Mashabiki wetu wa Simba SC zinatosha sana kwetu viongozi katika kesi hii ".

- Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC akiongea baada ya kuwasili Tanzania.