Kocha mkuu wa Simba SC Fadlu David's amesema kufungwa na RSB Berkane katika fainali ya CAF Confederation Cup mwaka 2022 akiwa Orlando Pirates bado inamuuma hadi leo hiii.
Tuliwatoa Simba Robo fainali tukawaangusha Al Ahli Tripoli nusu fainali lakini tukapoteza fainali dhidi ya RS Berkane Hivyo akikumbuka tukio hili anaumia sana....
Davids anasema ana iheshimu sana RS Berkane kutokana na ubora wake lakini wakati huu anataka kulipa kisasi akiwa na kikosi cha Simba SC, baada ya kupoteza taji la Shirikisho Afrika dhidi ya RSB Berkane akiwa na Orlando Pirates mwaka 2022."
Fadlu David's: Kocha mkuu wa Simba