Al Ahly yamnyemelea Jose Riveiro


Klabu ya Al Ahly imeanza mazungumzo na Kocha José Riveiro ili kurithi mikoba ya Marcel Koller aliyeachana na Al Ahly hivi karibuni

Hakuna ofa yoyote mezani kutoka klabu ya Young Africans SC, Riveiro ataachana na Orlando Pirates mwishoni mwa msimu huu

Kocha José Riveiro anahusishwa kuhitajika na Young Africans kuelekea msimu ujao ijapo hakuna ofa rasmi kutoka kwa giants hao wa Tanzania.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI