Yanga yasisitiza hawachezi dabi

KLABU ya Young Africans imeendelea na Msimamo wa kutocheza Mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Simba mchezo ambao awali ulipangwa kuchezwa Machi 8 mwaka huu.

Hayo yameelezwa na Afisa Habari wa Young Africans Ali Kamwe wakati alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari Visiwani Zanzibar mara baada ya kumalizika Kwa utiaji wa saini wa makubaliano baina ya Young Africans na Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar, kuhusu kuitangaza Zanzibar kupitia “Visit Zanzibar”.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI