Yanga yaifuata Simba robo fainali kombe la CRDB Cup

Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB Cup, Yanga SC jioni ya leo wameifunga Songea United ya mkoani Ruvuma mabao 2-0 uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Duke Abuye dakika ya 21 na Jonathan Ikangalombo dakika ya 54 yametosha kuipeleka hatua ya robo fainali ya michuano hiyo ambayo bingwa wake anakwenda kushiriki kombe la Shirikisho barani Afrika.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI