Pamba Jiji hiyooo robo fainali kombe la CRDB


Klabu ya Pamba Jiji kutoka Jijini Mwanza imeibuka na ushindi Wa Bao 1-0 Dhidi ya klabu ya Mashujaa Fc ya Mkoani Kigoma katika mchezo Wa hatua ya 16 Bora ya Michuano ya CRDB Federation Cup mchezo ambao umepigwa majira ya Saa 10:00 Jioni katika dimba la Lake Tanganyika Mkoani Kigoma.

Bao la Pamba Jiji limefungwa na nyota wao Allan Mukeya na kuifanya Pamba Jiji kutinga hatua ya Robo Fainali ya Michuano hiyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI