Ombi la Pyramids kuchezeshwa na waamuzi wa nje dhidi ya Al Ahly lakubaliwa

Ombi la klabu ya Pyramids kutaka waamuzi wa nje kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi vs Al Ahly limekubaliwa kutekelezwa na Chama cha Soka EFA huku kukiwa bado hakuna majibu ya ikiwa Al Ahly itacheza mchezo huo!

Pyramids waliwasilisha Maombi Yao na watalipa gharama za waamuzi hao punde baada ya sherehe za Eid zinazotarajiwa kufanyika Kesho au keshokutwa nchini Misri


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI