Nyuma ya Fadlu huyu jamaa hatari

Nyuma ya kocha mkuu Fadlu Davids kuna huyu mwamba wakuitwa Darian Wilken akishilikiana na Sulemani Matola wanafanya kazi kubwa sana.

Darian Wiliken amemaliza sehumu ya pili ya ukocha UEFA A License aliyokuwa anasoma Wales. hivyo kwasasa yuko fiti kusafiri na Simba kuelekea nchi ya Hadi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI