Novatus Dismas mchezaji ghali zaidi Tanzania

Kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichoingia kambini March 14, 2025, Mchezaji wa Klabu ya Gotzepe ya nchini Uturuki Novatus Dismas Miroshi (22) ndiye nyota ghali zaidi katika kikosi cha timu ya taifa la Tanzania akiwa na thamani ya Pauni milioni moja (€1.0M) sawa na Shilingi ya Kitanzania Bilioni 2.8. Hii ni kwa muujibu wa Transfermarket.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI