Nigeria yataka pointi za mezani

Timu ya Taifa ya Nigeria imewaomba CAF na FIFA waweze kuwapokonya Timu ya Taifa ya Afrika Kusini alama 3 pamoja na mabao 3 waliyopata walipocheza dhidi Lesotho kwa kumjumuisha Teboho Mokoena aliyekuwa amepata Kadi za njano kwenye mechi zake 2 zilizopita,

Mashabiki wa Soka, wakiongozwa na Nigeria sasa wanataka Afrika Kusini ichukuliwe hatua kwa kitendo hicho na wametaka Lesotho nao wawashtaki Afrika Kusini kwa tukio hilo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI