Kingwendu aomba anunuliwe gari na Diamond Platinumz


Msanii mkongwe wa Filamu Nchini Tanzania Kingwendu amemuomba Msanii Diamond Platnumz amnunulie Gari kwa sababu anapata changamoto sana ya Kiusafiri

Kingwendu amesema alipojiingiza kwenye siasa alipata madeni makubwa, hali iliyopelekea kutetereka kiuchumi na kuuza magari yake yote

Kingwendu amesema anaishi mbali "Nzasa" na huwa anatumia gharama kubwa ya Usafiri anapotaka kwenda katika kazi zake hivyo Diamond amsaidie Amnunulie hata Gari Aina ya IST.
Diamond Platnumz


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI