Kimenuka huko CAS, Bodi ya Ligi, TFF na Simba zapewa siku 10


Bodi ya Usuluhishi wa Kesi za Kimchezo ya CAS imethibitisha kupokea barua ya Yanga ambapo Walalamikiwa ni TFF, BODI na SIMBA.

Walalamikiwa wamepewa siku 10 baada ya kupokea taarifa rasmi kutoka CAS kuanza kuandaa utetezi wao wakati mchakato wa kesi unaanza rasmi kusikilizwa kwa nyaraka yenye kumbukumbu namba CAS 2025/A/11298.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI