Diamond Platinumz hataki Tiffah awe msanii kama yeye

Diamond Platnumz amesema hatomruhusu binti yake,Tiffah kuwa msanii kwani anazijua changamoto za kuwa msanii ukiwa mwanamke.

"Msanii wa kike kuna mambo mengi lazima apitie kama anataka kuwa msanii,

Ni changamoto kubwa sana kiasi cha kuuza mpaka utu lakini ndo mfumo ulivyo." Ameandika kupitia mtandao wake, Diamond Platnumz


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI