Bodi ya Ligi kuburuzwa mahakamani


Page 1 & 2 Ni taarifa kwamba kutoka kwa mdau mmoja wa soka ambaye pia Mwachama wa Klabu ya Yanga SC kutokea mkoani Iringa ambaye ameitaka bodi ya ligi kuu ( TPLB) ndani ya siku 7 kuanzia leo kutekeleza mambo kadhaa ama sivyo ataifikisha bodi hiyo Mahakamani,

Madai hayo yaliyotokana na Uamuzi usio halali wa Bodi ya ligi wa kuaihirisha Mechi namba 184 ya NBCPL tarehe 8 Machi 2025 ikiwa ni pamoja na kurejeshewa gharama alizoingia kwenda Dar kushuhudia hiyo mechi pia na Yanga kupatiwa pointi 3 na magoli matatu,

Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika mkoani Iringa kinasema Demand Notice hii ilishatumwa ofisi za TFF.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI