Aziz Ki anahusika mafanikio ya Yanga Princess

Mratibu wa Yanga Princess, Kibwana Matokeo amesema kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Aziz KI amekuwa mtu muhimu kwenye matokeo ya timu hiyo akiwapa sapoti wachezaji wa kike.

Aziz KI kwenye mechi mbalimbali za Ligi ya Wanawake amekuwa akionekana uwanjani, Yanga
Princess inapocheza ikiwa mchezo wa Dabi dhidi ya Simba Queens.

Akizungumza na Mwanaspoti, Matokeo alisema nyota huyo raia wa Burkina Faso amekuwa na mchango mkubwa kwenye kikosi hicho akiwapa hamasa wachezaji wa kike kwenye mechi mbalimbali.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI