Azam FC kuachana na kipa wake tegemeo

Kama mambo yataenda kama yalivyo, Azam FC ina mpango wa kumtema kipa wake Mohamed Mustafa raia wa Sudan sababu ikitajwa ni kufanya makosa mengi akiwa golini, hivyo umeanza mchakato wa kumsaka mbadala wake atakayewasaidia msimu ujao.

Chanzo cha ndani kutoka Azam FC kinasema tayari uongozi wa timu hiyo umcanza mazungumzo na kipa namba moja wa As Vita ya DR. Congo. Farid Ouedraogo na kama dili likitiki basi Mustapha atapewa mkono wa kwaheri


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI