Yanga kubomoka, Aucho naye agoma kusaini


Kiungo wa kimataifa wa Uganda Halid Aucho amemwambia kocha wa klabu hiyo kuwa hataongeza mkataba mpya.

Hadi sasa hakuna mazungumzo yoyote baina ya Yanga na Aucho licha ya kwamba mkataba wake unatamatika mwezi juni mwaka huu.

Pia, kuna taarifa zinazoeleza kuwa nyota huyo ametumiwa ofa ya kwenda kukipiga kunako ligi ya Saudia


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI