Tshabalala amuanika Layka

Baada ya jana mshambuliaji hatari wa mabingwa wa soka Tanzania bara Prince Dube kupost picha akiwa na watoto wake.

Beki wa kushoto wa vinara wa Ligi Kuu bara Mohamed Hussein Tshabalala au Zimbwe Jr naye amepost picha akiwa na mwanaye aliyemtambulisha kwa jina la Layka.

Tshabalala ameenda mbali zaidi kwa kusema mtoto wake Layka anaonekana ni Simba damu.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI