Lilepo atua Kaizer Chief

Grody Lilepo amejiunga na Kaizer Chiefs ya South Africa akiungana na Kocha wa zamani wa Yanga Nassreddine Nabi

Nassreddine anaenda kuifufua Kaizer Chief iliyopoteza makali kwa baadhi ya misimu nyuma.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI