Baleke ahitajika AmaZulu

Klabu ya Amazulu imeanza mazungumzo na TP Mazembe ili kuinasa saini ya mshambuliaji,Jean Baleke ambaye alikuwa akiitumikia Young Africans kwa mkopo.

Amazulu wamehamia kwa Baleke baada ya kuikosa saini ya FRANK Ssebufu raia wa Uganda ambaye alikuwa akiitumikia New York Redbull II ya MLS.

Inaelezwa kuwa TP Mazembe wanahitaji angalau Dolan 80,000 ili kumuachia jumla Jean Baleke ambaye aliwahi kuitumikia klabu ya Simba pia ya Tanzania.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI