Abdi Kassim "Babi" afichua maana ya jina lake la utani


ABDI Kassim anasema jina la 'BABI' siyo jina lake halisi isipokuwa lilitokana na kaka yake anayemtaja kwa jina la Shabaan kushindwa kutamka Abdi.

"Badala ya kutamka Abdi alikuwa akiniita 'Babi" basi jina hilo lilishika kasi na kuenea kila mahali hadi leo hii."


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI