TMA Stars yang' oa mmoja Kagera Sugar

Klabu ya TMA Stars ipo kwenye mpango wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Kagera Sugar na Mwadui Venance Ludovick.

Msimu huu Ludovick amewatumikia wapiga debe kutoka pale Shinyanga Stand United.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI