Tanzania Prisons yapata kocha mpya


Rasmi Tanzania Prisons imefanikiwa kuinasa Saini ya Kocha Wa Geita Gold inayoshiriki Championship Josia Amani.

Josia anachukua mikoba ya Mbwana Makata ambae ameondoka Tanzania Prisons.

Josia Amani akiwa Geita Gold FC amecheza michezo 14, amekusanya alama 30 anashika nafasi ya pili nyuma ya Mtibwa Sugar.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI