Sunday Mwakanosya afariki dunia

Mtangazaji wa kituo cha redio cha Magic Fm, Sunday Mwakanosya amefariki dunia.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana zinasema Mwakanosya amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi.

Enzi za uhai wake Mwakanosya alikuwa akitangaza kipindi cha muziki wa dansi na alikuwa mdau mkubwa wa muziki huo.

Mungu aipumzishe roho yake mahara pema peponi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI