Simba yazidi kuunusa ubingwa

Lilikuwa ni bao la dakika ya 90 na ushei la mkwaju wa penalti wa Kiungo Muivory Coast, Jean Charles Ahoua aliyemchambua kipa Yacoub Suleiman wa JKT Tanzania baada ya beki Mohamed Bakari kumchezea rafu Shomari Kapombe kwenye boksi.

Kwa matokeo hayo Simba inaendelea kukaa kileleni kwakufikisha pointi 37 na mwishoni mwa wiki hii itaumana na Singida Black Stars.

Pia goli la Ahoua linamfanya afikishe mabao 7 kumsogelea kwa karibu kinara wa mabao Elvis Rupia mwenye mabao manane


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI