Serengeti Boys yafuzu AFCON U17

TIMU ya taifa ya vijana Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys imefanikiwa kukata tiketi ya AFCON U17 2025 nchini Morocco baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya Sudan Kusini Uwanja wa Hamz, zamani Nakivubo Jijini Kampala katika Nusu Fainali ya kwanza ya michuano ya CECAFA U17.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI