Ramovic amtosa Makame Yanga

Kocha Sead Ramovic ameukataa usajili wa mlinzi wa kati wa Fountain Gate FC, Laurian Makame baada ya kumtazama kwenye mchezo kati ya Fountain Gate FC dhidi ya Azam FC.

Uongozi wa Yanga ulikuwa ushafanya kila kitu ili Laurian Makame ajiunge na Yanga ila imeshindikana baada ya Ramovic kumkataa, Kama mwalimu angekubali usajili wake basi mchezo wa jana asingekuwa sehemu ya kikosi cha Fountain Gate FC bali angekuwa ndani ya Yanga.

Dili lake lilikuwa asilimia 90% linakwenda kukamilika.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI