Ramovic amfunika Gamondi

Kocha mkuu wa Yanga Saed Ramovic amekuwa na takwimu bora sana tangia ajiunge na Yanag tofauti na mtangulizi wake Miguel Gamondi.

Hadi hivi sasa Ramovic ameiongoza Yanga kwenye michezo minne ya Ligi, timu yake imefunga magoli 13 imefungwa magoli mawili tu .

Miguel Gamondi ameiongoza Yanga kwenye michezo kumi msimu huu , timu yake imefunga magoli 14 na kufungwa magoli manne .


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI