Morrison atua KenGold

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Bernard Morrison raia wa Ghana amekamilisha usajili wa kujiunga na timu ya KenGold ya Chunya mkoani Mbeya.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba Morrison amesajili kwa kandarasi ya mwaka mmoja, KenGold iko kwenye tanuru la kutelemka daraja.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI