Kiungo MC Alger ashinda tuzo

Kiungo wa Klabu ya MC Algers Raia wa Ivory Coast Mohammed Zougrana (23) ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa kigeni ndani ya ligi kuu ya Algeria Maarufu kwa jina la ALBIR EBUSI kwa mwaka 2024,

Tuzo hizo ziliandaliwa na Kusimamiwa na Kampuni ya ya DZ MATCH huku zikifahamika kwa jina la DZ Player of the Year 2024.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI