Kilimanjaro Stars waenda Zanzibar kushiriki Mapinduzi Cup

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania bara, Kilimanjaro Stars leo wamesafiri kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya kombe la Mapinduzi itakafanyika uwanja wa Gombani, Zanzibar.

Mapema leo wachezaji hao na benchi lake la ufundi chini ya Ahmad Ally, wakiwa bandarini walianza safari kuzifuata timu nyingine za taifa kushiriki michuano hiyo mipya.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI