Kilimanjaro Stars kamili kushiriki kombe la Mapinduzi

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania bara, Kilimanjaro Stars, Ahmad Ally ametangaza kikosi chake kitakachoshiriki michuano mipya ya kombe la Mapinduzi itakayofanyika katika uwanja wa New Amaan Stadium Zanzibar.

Mbali ya kuita nyota wapya, baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa wakiitwa mara kwa mara kwenye timu ya taifa ya Taifa Stars wamejumuhishwa pia.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI