Kibu Denis kurejea.......

Kibu Denis amesha anza safari ya kurejea Tanzania akitokea Marekani alipokuwa ameenda kwa ajili ya Matatizo ya kifamili.

Kila kitu kiko sawa na Kibu anarejea nchini Sasa ili kuendelea na majukumu yake ndani ya Simba.

Kibu alikosekana Katika Mchezo Kati ya Simba dhidi ya Kagera Sugar na Mchezo dhidi ya JKT Tanzania.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI