Karabaka atimkia Namungo FC

Kiungo mshambuliaji Wa Klabu ya Simba Saleh Karabaka amejiunga na klabu ya Namungo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita hadi mwishoni mwa Msimu huu.

Karabaka alijiunga na Simba Januari mwaka huu kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Klabu ya JKU ya Visiwani Zanzibar.

Saleh Karabaka

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI