Chilunda kurejea uwanjani na KMC

Shabani Iddy Chilunda yupo majaribio kwenye klabu ya KMC FC akitafuta nafasi ya kusajiliwa baada ya kukaa nje ya uwanja takribani miezi mitano (6) baada ya mkataba wake na Simba SC kumalizika.

Ni pendekezo la Mwalimu Ongala ambaye alifanya nae kazi Azam FC uongozi umempa nafasi ya kujaribu bahati yake kwenye majaribio kabla ya kumsajili moja kwa moja.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI