Bui atemwa Zanzibar Heroes

Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) Hemed
Suleiman Moroco amemuondoa kwenye timu Mchezaji Abdulaziz
Makame "Bui" wa Geita Gold FC kwa makosa ya utovu wa nidhamu
pamoja na kutokufika Kambini kwa wakati, huku akiwa amesharuhusiwa
na timu yake kwa muda mrefu.

Moroco amewaongeza kwenye timu, Abubakar Nizal kutoka Azam FC U20 na Abdulnasir Mohamed Abdallah 'Casemiro' Mlandege FC


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI